Mwanadada anaechipukia kwenye mitindo ya uigizaji (model) maarufu kama @dilailat_taher apata shavu baada ya kupendezesha Video ya wimbo wa Saida karoli (Kichaka) ft Belle9 & Gnako.
Amesema,...
Amesema,...
![]() |
Dilailat |
Tangu video hiyo kutoka leo ikiwa ina siku ya tatu mtandaoni, Mwanadada huyo ameweza kuonesha hisia zake na kutoa shukurani kwa Mwanamuziki Mkongwe Saida Karoli kwa kuweza kushiriki katika video hiyo kwa ilikuwa moja ya ndoto zake
"Namshukuru Sana Saida Karol amenifanya kwasasa kuna baadhi ya wasanii wamenifahamu na kunitafuta kufanya kazi na mimi "
alisema maneno hayo katika kumshukuru mwanamuziki huyo Mkongwe Saida Karoli
Pia alimalizia na kusema kwamba hivi sasa anategemea kufanya kazi nyingi sana hivyo anawaomba watanzania wakae tayari kwa ujio wake.
Follow @dilailat_taher
![]() |
Saida Karoli |
![]() |
![]() |
Dilailat akiwa na Msanii G Nako kwenye Video mpya ya Saida Karoli |