Wednesday, September 6, 2017

"Safari Yangu " series coming soon !!


UZINDUZI wa Tamthiliya ya kusisimua "Safari Yangu" utakao fanyika Tar 9/9/2017 katika ukumbia wa Makumbusho ya Taifa Posta. Muda ni kuanzia Saa 1usiku 
Bila kusahau kutakuwepo na Burudani mbalimbali za Sana'a na kadhalika.

                           Filmed by ESHA 2017 (Esther & Halima) @Esieesther  USIKOSE!!


Sponsored by 
WANENE ENTERTAINMENT, 
UHONDO, GRIP & SPARKERS TANZANIA 
AFRICA SWAHILI TV