

Sakata hilo lilichukua muda takribani dakika 30 mpaka kupatikana kwa maelewano baada ya Vicent Kigosi "ray" kumuita mmoja wapo ili kuweza kusuluhisha ugomvi huo na kumuomba sana Irene ajaribu kutulia.
Kwa sauti ya juu Ray alisikika akiita mtu ambae alijulikana kwa jina la "Mnyama" ili aweze kufika pale na kiyamaliza huku Ray akiwa anamwambia Mnyama apige nagoti na kumuomba msamaha Mwanamama huyo mrembo Irene Uwoya...patamu hapo...Mnyama aliweza kupiga magoti na kuomba msamaha.
Haikuweza kufahamika rahisi hasa tatizo ilikuwa ni nini ila kulikuwa na kukosekana kwa maelewano baina ya Irene Uwoya na mwenzie Mnyama ambao watu hao wawili wana mahusiano ya kimapenzi.
Baada ya muda zilisikika sauti za vicheko na watu wakawa wanaendelea kula bata kama kawa.
Hongera Vicent Kigosi kwa ku-show love kwa watu wako...
Hongera Vicent Kigosi kwa ku-show love kwa watu wako.