Tuesday, May 14, 2013

Boko Haram lawateka watoto na wanawake

Wapiganaji wa kiisilamu wa Boko Haram wamewateka nyara wanawake na watoto katika kujibu hatua ya jeshi kuwakamata wake za wanachama wa kundi hilo pamoja na watoto wao.








Kiongozi wa Boko Haram Abubakar Shekau


http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2013/05/130513_boko_haramwomenchildren.shtml