Sunday, October 20, 2013

NI MOJA KATI YA MAANDALIZI YA VIDEO MPYA NA YA KWANZA...


Ramlife

Baada ya kupokea ushauri na maoni mengi kwa watu ambao wanamfatilia sasa ameamua kufanya Video yake ya kwanza, ni wapi ilifanyika hiyo video, kampuni gani iliojikita na kufanya hiyo kitu, Je na ni nani alikuwa video modle hapo kati ?
 Endelea kufuatilia.